MAJAMBAZI 3 WAUAWA GOBA WAKIRUSHIANA RISASI NA POLISI
Majambazi watatu wamefariki kufuatia majibizano ya risasi baina ya askari wa Jeshi la Polisi wakati wakidhibitiwa dhidi ya jaribio la uvamizi katika duka la Skymart lililopo Goba, Tegeta A, Wilaya ya Kipolisi Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kanda ya Maalum ya Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro amesema majambazi hao walikuwa wanne wakiwa na bunduki mbili zenye jumla ya risasi 17 pamoja na pikipiki, ambapo askari polisi waliwakuta wakiwa kwenye hatua za mwisho kufanya ujambazi.
Amesema katika tukio hilo, askari mwenye namba F3625 Sajenti Eliamini, alijeruhiwa vibaya na majambaz hao ambao watatu kati yao nao walijeruhiwa na kufariki wakati wakikimbizwa hospitali.
Wasafi Digital imefika katika Zahanati ya Polisi Oysterbay, Kinondoni ambapo askari huyo alitejeruhiwa anapatiwa matibabu ambapo Mrakibu wa Polisi Zahanati ya Polisi Oysterbay, Rukia Mbwambo, amesema askari huyo anaendelea vizuri na matibabu,
Hata hivyo, Kamanda Muliro amesema, uchunguzi wa awali umegundulika kuwa miongoni mwa majambazi hao ni majambazi sugu ambao waishawahi kufikishwa mahakamani kwa makosa mbalimbalimbali katika nyakati tofauti.
WATCH WASAFI TV
#Stamina #FutureWife #SlideDigital
Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
https://ffm.to/staminashorwebwenzi
Written & Performed by Stamina & Mkwawa
Video Directed by Khalfani khalmando
Follow Stamina on:
https://www.instagram.com/StaminaShorwebwenzi
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: https://www.instagram.com/slidedigitaltz
Marioo - Dear Ex (Official Audio)
Out now: http://africori.to/dearex
Tanzania’s superstar Marioo releases new Amapiano song “Dear Ex” produced by South African producer Tony Duardo. DEAR EX is a song that is dedicated to an ex girlfriend letting her know that he moved on and he is happy where he is. Follows by a question would you rather die or go back to your ex. The "Mi Amor" hit song maker celebrates 100million total views on YouTube and now adding another song to his catalogue of hit songs.
Lyrics
Mmmmh Baaaaaad Sheeeeeeeesh!!
Eti ana taka tena
Ya nini ya ninii
Ye ananitaka tena
wa nini wa nini mieeee
Sheeeeeeeee!!
Sirudiagi matapishi
kacheze unakochezaga
sipashagi matapishiii
kacheeze
Aah na nikiona sura yako najionea kasheshe
Ah kata simu tuko niondolee kasheshe
Chonde chonde
Hala hala dear ex
Aaaaaah Dear ex
Sipashagi makabichi No
No no no no No no no no no
Nono nono Oh Nono nono no
No no no no Ono no no no no
Nono nono Oh no no no no
Utamrudia ex wako ama bora kufa
et Mpatane ama bora kufa
Utarudi kwa ex wako ama bora kufa
Mh Murudiane ama bora kufa
Sirudiagi matapishi
kacheze unakochezaga
sipashagi matapishiii
kacheeze
Aah na nikiona sura yako najionea kasheshe
Ah kata simu tuko niondolee kasheshe
Chonde chonde
Hala hala dear ex
Aaaaaah Dear ex
sipashagi makabichi No
No no no no No no no no no
Nono nono Oh Nono nono no
No no no no Ono no no no no
Nono nono Oh no no no no
Watch more from Marioo
Naogopa (ft. Harmonize) - https://www.youtube.com/watch?v=LJONP5YAokU
Mi Amor (ft. Jovial) - https://www.youtube.com/watch?v=aU9Gmomi02Q
Beer Tamu (ft. Tyler ICU, Abbah Process & Visca) - https://www.youtube.com/watch?v=J5Ka53RZUtE
WOW - https://www.youtube.com/watch?v=HAB1rCi66ME
FOLLOW MARIOO
emailmarioo@gmail.com
Instagram @Marioo_Tz
#Marioo #DearEx #amapiano
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars
Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars
Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
To The Top Vol.1 (Special Edition)
Stream & Download: https://bit.ly/3xRmbjb
LYRICS:
Asubuhi flani ya hang over bwii
Nani tena huyu ananipigia saa hii
Napapasa kuitafuta simu mpaka naikamata,
macho kwenye screen naona jina “GACHI B”
We mshezi una balaa hatari
Sjui zilikua ni tungi au vijiti walimix wale
Uliwaka ukavamia dem wa mtu ukamshika shika
Na ukawa unaforce kumkiss eti palepale
Nlijua lazma utani-roast
Sjawahi waka vile mpaka ikatokea hadi data zime-lost
Mchizi alinitwika ngumi bufff kwenye mdomo yani nkahisi nmepoteza meno yote on the spot
Usingeweza kutoboa pale
Ilibidi ncheki gap tuchomoke tukimbie mbali
Nlikudrop kwako ukanambia nkushtue mapema
Una interview ya kazi leo katafte ugali
Ayaaa nahisi nshachelewa
Duhh mchongo bado nusu saa nkichelewa hawatonielewa
Umetisha kunishtua acha niwahi chap nkawaskie nikitoka ntadondoka studio
oyeah
Haya
Mswaki dakika moja, kuoga dakika moja
Suruali ya kitambaa imejikunja na iko moja
Ila haya yote ningeandaa tangu jana isingekua kazi fresh nitanyoosha daika moja
Naboost simu isinizimikie nkiwa njiani
Muda unaenda sana sa inabidi ntoke ndani
Navaa chap uber njoo nifate sinza vatcani
Sina muda wakuelekeza fata ramani
Dakika mbili uber akafika
Madevera smart kama wewe mjini ndo wanahitajika
Skia Nirushe chap posta pale 99 plaza ntakuongeza buku 5 tukiwahi kufika
Palepale kwanza dreva kawaka
Daah leo ka bahati yani mzee wa lissa nimekunyaka
Hivi kwenye ule wimbo ulipigwa kweli?
Sioni hata makovu na ile story vipi ishakukuta kweli!??
Sasa hapa ndo tutapochelewa
Focus yako iwe kwenye kuniwahisha na sio kuongea
Mgenilipa kama mnavyonisifia
Saivi nsingekua busy kutafuta kazi nisiyoielewa
Hii ndo shida ya wasanii bongo
Mbele ya camera wapole sana na kujisifia uongo
Mnasema mnatupenda mashabiki
Ila tunapokutana mnatutreat kama vile tunanuka shombo
Na ndo shida ya mashabiki wa bongo
Mnapenda tu kupuuzia ukweli na kuamini uongo
Mnasahau ka na si ni binadamu kuna muda tuna stress zetu mtuvumilie kidogo
Muda unaishia afu bado kuna umbali
Nikamlipa dreva nikashuka kwenye gari
Psss psss boda niwahishe posta chap tu
Zimebaki dakika 5 ufike muda wa interview
Mbio mbio mpaka destination
Zimebaki dakika mbili tu afu mchiz ndo naingia reception
dada wa mapokezi akafurahi aliponiona
Si akataka alete story nkaona ananichoma
Nkiwa palepale reception
Najibizana huyu sista, haki nimechoshwa na questions
Wakaingia watu wawili ndani
yule dada alivyowasalimia ikabidi nkae attention
Nageuka nione kuna nani
Ndo namuona yule dada ambae jana nilimfata nkamletea uhuni
Pembeni yake kaongozana na mumewe alieyataka kunitoa meno na ndio boss wa kampuni
Ilinichukua ka nusu sekunde kukumbuka ule uzito wa ile ngumi kwenye lile tukio
Nkakamata bahasha ya vyeti vyangu kwa makini nkatazama mlango ulipo vvvuuum nkatimua mbio
Audio produced & mixed by: https://instagram.com/gachib/
Video directed by: https://instagram.com/majagiking/
Apple Music: https://apple.co/3Hs0oBy
Spotify: https://spoti.fi/3MXGyiJ
Join Our Family:
https://instagram.com/rapcha_tz/
https://twitter.com/rapcha_tz/
https://www.tiktok.com/@rapcha_tz
#rapcha #interview #tothetopvol1specialedition
Michael agombana na Vivian akidai kwamba Vivian alitaka kuharibu ndoa yake, pia arudi kugombana na mke wake. Suzy awaonya wenzake akiwa anaondoka. Edu amtafutia kaka yake Sophia pasipoti na Anna akutana na Thomas
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: https://bit.ly/3lXtAFc
Angalia tamthilia bora Tanzania kwa kutumia Showmax:
https://bit.ly/2KnGqyv
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo